Nadia Mukami - Siwezi Lyrics

Siwezi Lyrics

Latinoooh Nadia! 
Hali mbaya, nyumbani mwenzenu chakula hakuna
Na si hekaya kuna muda natamani kurudi kwetu
Umenioa unitese, eti kisa kupendwa sana
Imenizidi mipaka, marafiki wananicheka sana 

Nimevumilia sana, kama maji mwenzako yamenizidi kina
Mapenzi bila pesa hapana nimechoka naenda….

We vumilia tu (siwez)
Eeh eeh (siwez)
We vumilia tu (siwez)
Nitembee vipi na magongo yangu ni wewe (siwez)
Eeh eeeh eeeiyee (siwez)
We vumilia tuh (siwez)
Nitembee vipi na magongo yangu ni wewe


Usijali riziki mafungu kila mtu ana lake
Tumetoka mbali safari bado kidogo baby tufike
Siri zetu zibakie ndani
Usiwape faida majirani
Hata mimi natamani
Upendeze uvimbe mitaani
Usinikimbie eeh eeh 
Ukiondoka mwenzako nitabaki na nani
Nihurumie eeh eeh
Baada ya dhiki faraja yetu ipo njiani

We vumilia tu (siwez)
Eeh eeh (siwez)
We vumilia tu (siwez)
Nitembee vipi na magongo yangu ni wewe (siwez)
Eeh eeeh eeeiyee (siwez)
We vumilia tuh (siwez)
Nitembee vipi na magongo yangu ni wewe

Nikipata nita kubuyia ndai
Vaccation dubai
Nguo kila design (hee uko sure)
Zara Gucci na Channel
Photoshoot mumbai,(acha chocha)
Nitaku treat ufurai
Nguo kila design (eeeeh uko sure)
Baby baby eeeeh 

We vumilia tu (siwez)
Eeh eeh (siwez)
We vumilia tu (siwez)
Nitembee vipi na magongo yangu ni wewe (siwez)
Eeh eeeh eeeiyee (siwez)
We vumilia tuh (siwez)
Nitembee vipi na magongo yangu ni wewe

Siwez, siwezi,siwezi
Siwezi, siwezi


Siwezi Video

Nadia Mukami Songs

Related Songs